Chama kipya vipi? Una akili timamu kweli? Ukiendelea hyo utavalishwa gauni la kijani uolewe. Pole sana kwa fikra mgando na akili finyu ya kupotosha uma. Kwa ushauri njoo rufaa mbeya 2kufanyie uchunguz wa akili yako ili 2kupatie msaada kabla haujapotea kabisa. POLE SANA DADA
chama kipya unaish wapi? Mimi nipo mbeya maisha yangu yote naona yanayo jiri kila kukicha. Askudanganye m2 wala usilete uongo. SUGU NDO HABARI YA MUJINI. mtasubiri miaka mia nane na nusu ili cdm ishuke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.