Kama mtu hafuati misingi ya sheria huyo hawezi kutukuka hata kidogo..
Hitler amefanya mengi kwa Germans ...
Pol Pot amewasaidia Cambodia
Amin na Uganda
Lkn hawana uzuri wowote kwa kuwa hawakuongoza kwa misingi ya sheria.
Paul anakiuka sana taratibu, amekuwa akiufanya mji kama shamba lake, na...
Unazungumzia 16 years old...
Ni indecent exposure kwa minor, as a brother he has right to protect Huyu innocent kid.
Jamaa wanakosa audacity to act, Kwanza wenyewe wameajiri mtoto (minor) ambalo ni Kosa kisheria, lkn hawawezi hata kumprotect.
Ila worse enough huyo binti ananunuaje CD za porno...
Talk to your lady baada ya sex.
Uliza kitu gani uboreshe, Anza kwa kuelezea wewe what you like the most then atafunguka.
Ukwa kujaribu unaweza kujua Mambo mengi anayoyapenda partner wako, si kwa kelele anazopiga, Ila kwa jinsi anavyorespond kwenye sex au foreplay... Mwili unaelezea mengi kuliko...
Issue yako ni ngumu.
Wanaume huwa wanahitaji sex more than anything. Na Hapo tutahitaji kila aina ya mwanamke, tako kidogo, namba 8, mwembamba etc. Na ni curiosity ya kawaida tu kama wewe kwenye buffet kisha ukawa ba misosi mingi, ofkoz choices zako zitakuwa very broad.
Lkn inapokuja kuchagua...
Nadhani wanahitaji kukua ili kuyajua hayo.
Often wageni wa game huwa wanadhani ukimchosha mdada ndio utaheshimika, in fact hakuna hilo.
Wanawake wanapenda sex ya taraaatiibu na constant pressure Ila sio pumping ya ugomvi. Smooth sex kama ukimuandaa vema au with assistance ya lubricants huwa...
Huu uchizi.
Sasa mwenzio kasema anaumia we kwanini uendelee kumuumiza?
Kuna ujinga kwa baadhi ya wanaume (sijui wavulana) wanadhani mwanamke akiumia ndio wanajua sex.
What we need ni kuwafanya waenjoy sex na sio to inflict pain.
Mwanamke anapoinama (coming from behind, mbuzi kagoma) hasa akiweka...
Hakuna record zinazoonesha Nyerere alitaka vyama vingi. Record yake ni kufuta vyama vingi...
Sasa swali lako, libadilishe na kusema" Kwanini Raisi Mwinyi aliruhusu vyama vingi pamoja na 80% ya watanzania kukataa?"
Ungeweza tu kusema bila ya kutumia lugha za kukera na ungeeleweka.
Nadhani Moja ya vitu vinavyoiharibia JF heshima yake ni haya matumizi ya lugha za kejeli, matusi au zile zenye kukera.
Point yako ni very valid, lkn unawezekana wasomaji Wengi wakaiachia njiani.
Hili jukwaa linapaswa kusimama...
Singh ni mtuhumiwa.
Mnacheka leo sababu mnamuona muhindi, Hii abuse of power ikiwa ndio utamaduni tutalia wote.
Zimbabwe walidhani Mugabe was after wazungu tu, kumbe ni yeyote waliyehisi si miongoni mwao na hata waliokuwa nao pia waliojichanganya waliumizwa.
Kwa hiyo ni sawa na debate club?
Kuna sababu ya kujiuliza kwanini tunapanga misululu mirefu siku za uchaguzi!
Anyway hata nje ya bunge shinikizo lifocus kwenye mabadiliko hayo na sio na kuwa vague Hadi watu hawajui wanataka nini!
Lissu, TLS, UKAWA na allies wanajizungusha sana kuelezea ukweli na ndio imekuwa tatizo kubwa sana kwetu.
Hawa jamaa na nyimbo zao za katiba mpya, muda wote wanaodai katiba mpya lkn ndani ya nafsi wanataka vitu viwili 2.
Tume huru ya uchaguzi
Matokeo ya uraisi kuweza kupingwa mahakamani
Sasa...
Unahamisha goli 1000 digits
Issue sio CCM, hapa tunawazungumzia watawala wa awamu ya 5. Katika awamu 2 zilizopita ujenzi wa barabara na madaraja, viwanja vya ndege etc ulifanyika kwa kiwango kikubwa sana. WaPo watu walioumizwa lkn Wengi either walifidiwa na hata wale ambao hawakua na haki bado...
Ni Kweli Ila Huyo Marandu amekosea. kwanza heshima kwa mkuu wa Nchi sio optional, lkn pia clip yake sio anakosa adabu tu, Ila anatishia maisha ya amiri jeshi mkuu...
Mimi kwa upande wangu huwa naona Magu Kuna Mambo mengi anayokosea, lkn bado haijafikia na haitokuwa sawa wakati wowote ule...
Nadhani huwatendei haki IMMA advocates..
Hiyo ni cohort ya scholars ambao wao wanaweza kubadilika au Learned brothers wapya wa Naweza kujiunga na kubadili taswira...
Kama unaamini serikali ya ccm inaweza kuwa transformed toka wapiga deal na kuwa wazalendo, kwanini usitumie utashi huo huo kuona...
Hiyo mikataba si waliingia serikali?
Nani hakuwepo serikalini awamu zilizopita ambaye anashangazwa na mkataba wa Accacia wa Leo?
Wakili si muingia mkataba na hata hao wanaosaidia acacia leo wala hawaendi kusema kuwa wametunyonya or not, wao watasema kama kinachosimamiwa ndicho tulichokubaliana...
Unajua mara nyingi ushauri wa wabongo Wengi huwa hausaidii.
Huyu mtu kasema she is in love with her brother...
Badala ya kushauriwa anaambiwa hiyo ni laana, why?
Anaweza kuwa na laana yes, kwa sasa afanye nini? Wengine mnaleta hadithi za mapepo na kutoana hayo mapepo, Ila Wengi mnajua jinsi...
Haya ni maneno ya kihuni na hayafai kwa watu wenye majonzi.
Hivi unajua kuwa ubungo, Kimara na Mbezi ni maeneo ambayo upinzani umeshinda? Hivi hujui kuwa Dar imekuwa na wapinzani Wengi kuliko Kilimanjaro?
What if watu hawa wanaadhibiwa kwa kuwachagua wapinzani?
Unadhani katika wanaoumizwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.