Kinachowatesa ni chuki binafsi dhidi ya Magufuli. Hakuna mwenye hoja za maana.Mimi toka nakua naona CCM wanaiba Kura tena kuna watu wanapotezwa. 2001 watu walikimbia makazi Zanzibar na kuwa wakimbizi lakini mtu anakuambia hakuna uchaguzi mbovu kama wa 2020.Huwa sijui wanatumia references gani.
Mbeya mjini hakuna umeme toka Asubuhi na ni mgao kama kawaida. Kesho utakuwepo ila utakata jioni na kurudi saa 4 usiku. Shida ya umeme ipo ila sema tushazoea
Chadema sio chama cha upinzani, hawa ni watoa taarifa. Wao ni kusema CCM mafisadi, Bandari imeuzwa mara tunataka katiba mpya mara tume huru ya uchaguzi nk.Hiki sio chama cha Kuhakikisha yale wanayoyaongea yanafanyiwa kazi.Ukisema CCM ni mafisadi au tunataka katiba mpya basi lazima vitendo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.