BIG UP SANA, umeonyesha nia ya kubadili mtazamo wa vijana wa kitanzania,tuko pamoja.Hata mimi nina mawazo ya kuinvest but i didnt know where to get seed money(initial capital),so nadhani elimu hiyo itatusaidia wengi.
pia jamani naomba kusaidiwa jinsi ya kuandaa busness plan,and if possible...
asanten sana kwa ushauri wenu juu ya unnuzi wa hisa,
wadau,mi nina swali,hivi ulishawahi kujiuliza kwanini majority of tanzanians ni maskini?kwa mtazamo wangu nilijijibu hivi,most of the tanzanians depends on employees rather that self-employment and investment ,and this is due to many reasons...
wadau,i do agree with cerezo,hongera...what i think from my point of view,its pointless to keep avoiding the kenyans(the fact is we have enought chinies who hold a big part of tz market in kariakoo and all over the country and kaburu who ownes the biggest investment to mention a few) or ea...
habari ndugu zangu....
naomba ushauri jinsi ya kununua share and which company is suitable.naomba mnisaidie juu ya ununuzi wa hisa za campuni za hapa nchini.
thanks,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.