Search results

  1. ghumpi

    Ninayo program ya kutuma sms kama ile ya Marando

    Mkuu sir burn angalia usijesaidia polisi juu ya kesi inayoendelea
  2. ghumpi

    Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

    Mkuu ndonndo nahisi wewe no Mariedo mwenyewe sorry kwa yaliyokukuta ila habri ndo hio , nawe wamekuspot. Lisemwli lipo kama halipo laja~~
  3. ghumpi

    Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

    Njaa mbaya jamani. Hili halihitaji TAKUKURU. Mbaya zaidi Hakimu ni ama, hivi kweli huyu mama anaujua uchungu wa mama? shame
  4. ghumpi

    najua unajua lakini jua zaidi

    Mkuu figaniga somo la kiswahili ulipata alama gani vile? Kuna tofauti kati ya L na R naomba ulifanie kazi hili
  5. ghumpi

    Kutoka Kadakabikile hadi kuwa...

    Na huyo bwana avator hapo juu ni wewe halisia mkuu??
  6. ghumpi

    Take Care People!!!Men at Work.

    asante kwa taarifa. tahadhari muhimi jamani, tusitembee na cash nyingi mitaani dunia imeharibika!!
  7. ghumpi

    Nimepoteza mama yangu kipenzi usiku wa leo

    Pole Pdid Mungu atakuangazia. Roho za marehamu wapate uzima kwa mungu na wapimzike kwa amani!! RIP mama yetu
  8. ghumpi

    hujui kitu muhimu kwako mpaka

    Mkuu umenena ila kiasi unachochanga haliendani na tatizo la mgojwa kweli atafika india huyu???
  9. ghumpi

    Dr Linda anafukuza wanachuo kwenye majengo ya umma!

    poleni nawashauri mchukue hatua muafaka badala ya kusemea pembeni. 40 yake itafika tu asijifanye yuko juu ya sheria.
  10. ghumpi

    Yaliyonipata Muhimbili baada ya kifo cha mwanangu siku ya tar03.03.2012!!!!!

    Mkuu pole sina la kusema hapa. Muachie mungu ila inasikitisha sana, maliza msiba urudi suala hili lijadiliwe kwa mapana.
  11. ghumpi

    Nimefiwa na mtoto jana muhimbili!

    Spika pole sana. Mongu amlaze mahali pema na awajalie nguvu za kustahimili kipindi kiki kigumu. Pole mkuu
  12. ghumpi

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Yoyo operation nguvu Kazi hiyo!! hahahahaaa
  13. ghumpi

    Ukitaka kumdelete mpenzi aliyekutenda ufanyeje?

    Mkuu hujamtendea haki wali mweupe!! mwanaasha????????
  14. ghumpi

    Hospitali ya Mkoa wa Singida ipo hoi!

    Tuambie huyo wa chadema kafanya nini??
  15. ghumpi

    matapeli wa mapenzi tanzania

    smile kwa hasira uliyo nayo, naona uliendwa
  16. ghumpi

    Inanitisha nisaidieni!!!!!!!!!

    Mkuu ukionana naye tujuae tujue yaliyojiri huko. Kwa keli inatisha
  17. ghumpi

    Nabii na mtume Onesmo Ndege alipua bomu kanisani leo; waumini wote wataharuki

    Mkuu Diddy umechangany habari. mie kama wenzangu nimetoka kapa.
  18. ghumpi

    Wivu Umemuua!!

    RIP dear Flora. Na huyo Bwana Mungu ampatilize kwa mabayaaliyotenda, malipo ni hapa hapa duniani
Back
Top Bottom