Utajua mwenyewe, mie nnachojua JPM hakuwa babu kubwa sana hasa kwenye utawala bora, ila huyu mamako ni hamna kitu...kuna kakikundi fulani tu kadogo kenye maslahi ndio kanatumia nguvu kubwa kumpamba mf Nape ili waendelea kula kwa urefu wa kamba zao!
Wewe ni muongo pamoja na chuki zako kwa Jiwe, kweli jamaa lilikuwa dikteta ila nakumbuka wakati wake uchumi wetu ulikuwa namba 9 Afrika, huku Kenya wakiwa wa 7.
Mamako katurudisha nyuma kwa nafasi moja zaidi kwa kurembulia mafisadi.
Uwe unaelewa Ustadh, ishu hapa ni ridhaa ya wahusika wote wawili.
Tukio la Uhispania mchezaji hakuwa ameridhia kupigwa busu la mdomo (kalazimishwa) sasa huwezi ukalinganisha na kitendo cha shabiki mwanamke wa Iran aliyekumbatiana (hakuna kulazimishwa/wote wanaonekana kuridhia) mchezaji mwanaume...
Binafsi, miongoni mwa mambo aliyoyavuruga ni kuua biashara kati ya Tz na Kenya.
Change ya Kenya kwasasa iko juu mnoo dhidi ya pesa yetu...hapa huyo Hangaya wako ameniathiri moja kwa moja pamoja na maelfu ya wafanyabiashara wengine hasa wanaotumia mpaka wa Namanga na Sirare.
Ila Hangaya inatumika nguvu kuubwa sana kutuaminisha kwamba mambo yako safi, ila huku site mambo ni tofauti.
Wachache wenye kamba ndefu ndio wanakula maisha.
Sasa hiyo doctorate magumashi inatusaidia nn sie wananchi wa huku Namtumbo??.
Nadhani ile halisi ndo inaweza kuwa na kitu kichwani kusudi ilete matunda ktk field.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.