Hivi kwa nini akina VODACOM na wenzao hawatoi misaada kwenye Mahospitali ambapo pana upungufu wa madawa, vifaa vya kazi? Sponsorship zao mkwenye michezo mimi hazinigusi sana kwani mwannchi wakawaida hafaidiki na misaada hiyo. Waache cheap popularity!
Wapinnzani mnatakiwa kutoa elimu ya uraia huko vijijini ili wananchi wajue haki zao na na namna ya kuzidai. Acheni kukimbilia mjini kwenye TV na Magazeti tu. Huku watu wengi wasomi na wenye kuelewa mambo hawapigi kura kwani ni kupoteza muda tu sanasana tutaenda kupiga kura mikoani kwetu. Mfano...
Esther, Katika ndoa yako YESU awe ndio Mkuu. Na model ya maisha ya ndoa ni YESU na Kanisa. Wala usicopy na kupaste ndoa ya fulani. Otherwise Mungu akubariki sana .
Akupendaye Ngosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.