Ukweli ni kwamba jukwaa hili sasa linapoteza muelekeo. Jana Lowasa alikuwa uwanjani,na alikaa nyuma ya Mwamunyange......hiyo picha uliyoiita feki ndio orijino sasa. Lakini pia,tuache ushabiki wa kitoto,hivi nani kasema Rais atachaguliwa kwakukimbia au kusimama karibu na rais anayemaliza muda...
Jamaa maswali yako ni rojo sana.
Chama chochote kinachoamini katika Demokrasia,lazima kiwe na utaratibu sahihi wa kuwapata au kumpata mtu atakayekiongoza kusaka nafasi ya kuliongoza Taifa. CCM kama tahasisi hakiongozwi kwa mihemko,ama kwakukaa baa na kuombana kugombea. Hivyo sio ajabu watu...
UKAWA sio chama cha siasa,nje ya kudai katiba hakuna UKAWA,kuna CHADEMA,CUF na NCCR. Kikubwa ni kuvishauri vyama hivi jinsi ya kuanza siasa za nje ya UKAWA.
Hapa mkuu hujatumia akili kabisa. Juwa kuwa CCM haipo madarakani kwa mawazo ya mtu,ipo kwa wingi wa kura. WanaCCM na wananchi ndio watakao iweka ama kuiondoa CCM madarakani. Kuna mahali wengi mnashindwa kuelewa,ili chama kingine kishike hatamu,ni lazima kichaguliwe pia na wanaCCM kitu ambacho ni...
Kwanza tujiulize tofauti iliyopo kati ya uoga na unyonge. Rais angewaambia wana CCM waache uoga,hata mm ningepata wasiwasi,ila unyonge,sioni jambo la kutisha hapo. Mtu mnyonge huwa ana kiu ya haki,muoga ana kiu ya damu. Mnyonge halipi kisasi unyonge ukimuisha bali hufurahi kuipata haki...
Salama sana wana JF?. Nianze kwa kukiri kuwa nchi yetu ipo hapa ilipo kwa sababu tumependa iwe hapa. Nimemsikia Rais wangu,mtanzania mwenzangu,akilalamika kuhusu mambo mengi. Hivi karibuni nimemsikia akilalama juu ya ujangili,huku akiwa nje ya nchi. Rais wangu anawajua majangili,anamfahamu mmoja...
Ni imani yangu kuwa kwa sasa kila mtu anauona ukweli wa mgogoro uliopo CHADEMA,mgogoro ambao chanzo chake si kingine bali ni mgongano wa maslahi. Niwakumbushe viongozi wa CHADEMA kuwa "kivuli cha fimbo hakimfichi mtu jua",hivyo ni wakati sasa wa kukubaliana na ukweli kuwa mwenyekiti wa chama...
Ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa bei mpya ya umeme,nimejiuliza maswali mengi sana. Baadhi ya maswali ni haya;MOSI,umeme wa uliopandishwa bei ni upi?,ni huu unaogawiwa kama nyama robo kwenye familia ya watu kumi?,PILI;hivi ule waliosema unapelekwa vijijini ni upi?,ni huuhuu ambao unapatkana...
Hapa suala sio chama,suala ni nani mwenye uwezo wa kututoa kwenye tope tulilozama?. Tunaweza tukawa na vyama 100,ishu vinaongozwaje?,nani aliyetayari leo hii kusema pasi na shaka kuwa chama fulani kiko sahihi kuliongoza taifa letu?,nadhani ufike wakati tujadili MASUALA badala ya watu au vyama...
Jamani kuna gazeti na ka-gazeti. Si dhani kama JK anaakili ndogo kiasi hicho. Mwenyewe anajua kuwa Membe kalala usingizi wa pono akisubiri ndoto za kuwa Rais ili aweze kudili na jamaa zake 11,halafu JK amzindue kwa kumpa Uwaziri mkuu?,akishtuka si ataanza na yeye mwenyewe?. JK akili mia,anajua...
Heri ya Mwaka Mpya. Naependa kujadili kidogo mambo ambayo rais ajaye anapaswa kuyafahamu kabla hajaja kutuomba ridhaa ya kutuongoza.
Mambo hayo ni haya;
1.Ajue kuwa vijana wamepuuzwa na kudharauliwa ndani ya nchi yao.Wamefanywa kama daraja la wazee kuyafikia mema huku vjana wakibaki kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.