Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nimedisco mwaka huu na nimebahatika kuchaguliwa kwa mara nyingne UDSM nianze safari yng ya elimu kwa mara nyingne,nahitaji msaada wa maelekezo namna ya kulipia mkopo niliochukua ili niendelee kupata mwingine
Inatia aibu sana kuona chuo chenye sifa ya kutoa maengineer na maIT nchini tena wenye kuaminika inashindwa kurekebisha system na kuupload selection mpaka leo karibu vyuo vyote vishatoa majina kimebaki chenyewe,mnatia aibu hii xana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.