Ndio maana nilikuuliza kama unajua, nashukuru kwa kuwa umeonyesha kuwa haujui ulichoandika.
Kiufupi ni kwamba hiyo misaada inayotolewa na serikali kuna pesa ya CHADEMA , CUF,NCCR, ACT ,CHAUMA,CCM nk. Ukisikia serikali iliypo madarakani ujue pia ina vyombo au taasisi zinazokusanya kodi kwa ajiri...
Umesahau kuwa hao wanachama wa CHADEMA ni Watanzania na wanalipa kodi kwa serikali inayongozwa na CCM?
Au haufahamu nini maana ya kodi inayolipwa na kila mwananchi?
Hajakosea, bali anaufahamisha umma kuwa ukisikia mtu kapotea ujue wamempoteza wao.
Pia kaenda mbali kuwajulisha kuwa wao hawaujui utawala wa sheria hivyo, Polisi wasihangaike kujua nani kapotea.
Mdomdogo nchi inatumbukia.
Itoe elimu juu ya uwekezaji. Na sio kumlazimisha mtu kuwekeza sehemu asiyotaka kuwekeza kwa kukata pesa yake.
Uwekezaji hauko hivyo! Mfundishe mtu apate elimu achague sehemu ya kuwekeza. Kuna maeneo mengi ya kuwekeza na ukapata faida.
Hauwezi kumchagulia mtu awekeze wapi, bali mfundishe mtu...
HIli linaumiza sana. Wazee wengine wakifikia kustaafu wakikutana na kikokotoo, huishia kuumwa kiharusi na kisukari.
Hawachukui muda mrefu wanakufa. Labda ndio mpango uliopo wa kuwaondoa wazee hawa kwa magojwa ya moyo, kupooza na kisukari?
Hili si sawa kabisa.
Mkikosa cha kuandika, jaribuni kuwatafuta raia watawapa habari za kuandika.
Huko mitaani kuna kero lukuki.
Watawapa habari za kuandika tena za maana kuliko hizo habari zenu.
Anamaanisha maji yanayosemwa kuwa safi na salama sio ya DAWASA.
1. DAWASA maji yake ni machafu, wakati mwingine yanatoka meusi kabisa.
2. DAWASA maji yake si salama kama wasemavyo, ukinywa bila kuchemsha ujiandae kwenda kulazwa kwa matatizo ya tumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.