Wanajamvi poleni na majukumu ya mchana kutwa, katika kukabiliana na hali halisi ya kuongeza kipato mbali na shughuli nyingine nizifanyazo nimefikia uamuzi wa kujenga ghala (warehouse) la kuhifadhia nafaka na bidhaa nyinginezo nimepata eneo msata huko bagamoyo lenye ukubwa wa 50mx25m sasa...
Wakuu habari za asubuhi, ni matumaini yangu kuwa mko sawa na shughuli za kila siku, wakuu nimetafakari kuna masuala kadhaa nimeshindwa kupata majibu naomba msaada wenu kujua yafuataya;
-Athari za madawa ya kulevya zinatokana na nini hasa matumimizi ya kupitiliza ya madawa?, utumiaji usiofuata...
wanajamvi mwenye kujua sehemu ambayo naweza kukodi greda la kuchonga barabara na la kushindilia anijuze tafadhali pia kama anafahamu na rate zake iwe ndani ya wilaya ya kinondoni.
The president of Nigeria, Goodluck Jonathan has spoken publicly for the first time about the abduction of more than two hundred schoolgirls in the northeast of the country. He admitted that Nigerian security forces still dont know where they are being held. He also said hi government has spoken...
Wadau naomba msaada wenu, girl friend wangu amepata matatizo yaliyopelekea kutolewa mfuko wa uzazi kwa hali hiyo ni vigumu kushika ujauzito kama ndivyo je tunaweza kupandikiza mbegu na yai kutoka kwetu na mtu mwingine azae mtoto kwa niaba yetu? Msaada tafadhali pia ushauri.
wanajamvi naomba kujuzwa, je kuna uwezekano mwanamke akapata ujauzito baada ya kutolewa mfuko wa uzazi? taaluma ya testtube babies ikoje? naomba kujuzwa tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.