Jamani taifa lolote haliwezi kuendelea pasipo wakosoaji tena wakosoao kwa bidii.taasisi za kidini ndio hasa chanzo cha kupigania haki, uhuru na amani ya nchi yoyote.kwa mantiki hii ni kwamba jasho la church movements kipindi kile lisije likapotea bure kwa kutotambua jitihada zao. naili iwe hivyo...
Kama ni laana basi aliyetulaani kafa. leo nasoma gazeti moja nashitushwa na habari hii ya ajabu mwarabu eti anahamishia majina ya kwao na kuleta kwenye inchi yetu. hata mtandao unakukaribisha Eti karibu kwenye jumuiya ya kiarabu jamani haya si matusi? tena ya nguoni baba gani bora atakubali...
suala la presidar kusimama na kujibu maswali naona ameona ni njia ya kutuyeyusha sisi wanaharakati Nasi twasema hatuyeyushiki kwani Mweshimiwa ulikuwa wapi mwaka uliopita umeshituka nini? naona unasoma nyakati ila kwa wasomi hawa utajidhalilisha tuu. okay fine nadhani muda unao sasa wa kukaa na...
Mweshimiwa anataabu kweli! na bado Mwakani tunataka live debates kama marekani
najua tayari Rais umeandaa majibu mepesi kwa maswali magumu ila kwa hapo ulipo fikia hongera
namshukuru Mungu aliye niweka hai leo nashukuru sana kwa kukaribishwa vizuri jamiiforum asnte sana
majibu katika maswali ya leo atakayo ulizwa mweshimiwa ambaye mi namwita muajiriwa wetu haya hapa
a) ufisadi nami nauchukia, ila sasa swala lipo mahakamani hatuwezi kuingilia uhuru wa mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.