Mfalme Suleiman
Member
- Sep 7, 2009
- 5
- 0
namshukuru Mungu aliye niweka hai leo nashukuru sana kwa kukaribishwa vizuri jamiiforum asnte sana
majibu katika maswali ya leo atakayo ulizwa mweshimiwa ambaye mi namwita muajiriwa wetu haya hapa
a) ufisadi nami nauchukia, ila sasa swala lipo mahakamani hatuwezi kuingilia uhuru wa mahakama tuwe wavumilivu tuu mahakama itaamua kwa haki tuu
Wakubwa hawa wanachelewesha kesi hii makusudi ili tuone kwamba watuhumiwa wanashitakiwa.mwakani tuwachague, alafu waseme waheshimiwa hawa hawana hatia kabisa
majibu katika maswali ya leo atakayo ulizwa mweshimiwa ambaye mi namwita muajiriwa wetu haya hapa
a) ufisadi nami nauchukia, ila sasa swala lipo mahakamani hatuwezi kuingilia uhuru wa mahakama tuwe wavumilivu tuu mahakama itaamua kwa haki tuu
Wakubwa hawa wanachelewesha kesi hii makusudi ili tuone kwamba watuhumiwa wanashitakiwa.mwakani tuwachague, alafu waseme waheshimiwa hawa hawana hatia kabisa