Ripoti ya CAG inaonesha kuwa Tume ya Ushindani (FCC) imefanya uchunguzi na kuwakuta kampuni za Toyota Tanzania Limited na makosa ya kula njama na kupanga bei ya magari mapya hivyo kufanya bei ya magari hayo kuwa juu kuliko kawaida. Kampuni hizo zimekiri makosa yao na muenendo wa shauri...
tuwaambie pia kuwa KPMG Netherlands imepigwa fine USD 125 M kwa udanganyifu wa mitihani https://www.wsj.com/articles/kpmg-fined-25-million-over-alleged-netherlands-exam-cheating-a4dcba2a
TRA ipo competent na wana vitengo vya Auditing safi kabisa. Hii la kusema eti uwape Big Four wafanye audit kwa maslahi ya serikali ni UTANI unaopaswa kupuuzwa kabisa. Wiki iliyopita KPMG Ireland nadhani imepigwa faini Euro 25m kwa kudanganya mamlaka za huko! Watu wanadhani hawa Big Four ni...
Ni pendekezo la hovyo sana...
1. 2,000 kwa kila mwenye simu its a regressive tax..
2. Simu si kipato au asset, wengi ni kiwezeshi cha mawasiliano. kuanza kukiona kuwa ni mtaji na asset ni uduni wa mawazo.
3. lazima ifanyike study kubwa in the formal na informal sectors na kuainisha kipato kwa...
kwa wengi wasichokijua tu ni kuwa Volvo ana branch yake kabisa Tanzania. wapo along Nyerere road kama unaedna Airport. acheni kudanganyana eti spare hamna! we huna uelewa
Alivyofia angani hakushuka chini? Au alibaki anaelea huko? Maana nachofahamu eneo lote alipodhaniwa ameangukia (baada ya estimation za mlango wa nyuma wa ndege kufunguka) lilifanyiwa search bila kupatikana mwili wake.
Wapi Tanzania kuna Public CCTV ambayo bodabkda kama huyo anaweza access au pita? Wacha kujisifu sana! Hakuna Street Camera za maana TZ ukiachilia maeneo wanayokaa au ofisi za viongozi wakubwa wa kitaifa! Road Traffic CCTV zingesaidia sana kwenye issues kama hizi ila hakuna. Nilikua Kenya and i...
Kama ana move na simu basi mifumo iliyopo TCRA/ kampuni za simu inasoma exactly simu yake inapokea mawimbi kutoka mnara gani wa simu. Hivyo taarifa hio inatumiwa na polisi (Cyber Crime Unit) kuwasiliana kwa radio na polisi wa eneo hilo kwa ajili ya kumfuatilia muhusika. Hata yule kijana aliywua...
If i will be invited to the table, i will advise immediately for unbundling of TANESCO into three different entities namely: Production, Transmission and Distribution. These entities mwill be separate, independent and singly from each other and there must be intense competition at production...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.