Hawa jamaa wa vodacom' ni kuwa nao makini kwani kuna kigogo wa Epa anamiliki 25 percent za total Equity .isije Vodacom' MPesa ikawa Epa nyingine wahanga wa MPesa watakuwa watanzania masikini.
Jerr Muro Si alipewa Tuzo na Wamarekani,.pia akapewa nafasi miezi sita kwenda Kwa mjaluo Obama, Course' kituko wakambania pale Itv'nafasi yake'yake Dongo akamaindi akapiga mzigo'chini.jamaa Mhando Tido akaona wenzake Itv wamechezea Lulu.akamkaribisha Tbc.habari ndio hiyo.
Siasa ina wakati wake,kupanda na kushuka Mzee wa Kiracharacha sasa kafulia bora apumzike asije kufa kwa kisukari.Inachekesha anakuwa wa kwanza kutoa ushauri kwa chadema.
Ndugu, nani kasema serikari ni ya Romani katoliki, huku viongozi wa juu wa serikari wa bara na Zanzibar ni waislaam tena swala tano! chadema hakiongozwi kwa nadharia za kikristo kwani Slaa kama ni upadri kaweka pembeni, kama umekosaa hoja kaa pembeni, sio kutufanya JF tuonekane tunaegemea udini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.