Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
Mi nashindwa kuelewa hii serekali ya wenyenayo, na mahakama zao na uongozi wote kwa ujumla,, jamani watu morogoro wanalia kama watoto wadogo eti nyumba zinavunjwa na mjinga mjinga mmoja anayejiita mwekezaji.. mawaziri mko wapi? Raisi uko wapi watendaji wengine mko wapi? haki za binadam mko...
Leo mwenzenu nilikuwa naangalia maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi hukooooo,,,, si wakaletwa wale Wang'oa kucha na meno lakini wakawatambulisha kama makomandooo.. mh kazi IPO hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.