Suala la elimu bure kwa nchi hii wala sio jambo la ajabu kabisa sisi tumesoma elimu huku tukinywa uji,daftari likiisha unaonda kwa mwalimu wa soma anasaini unaenda zako stoo unapewa daftari,tulikuwa hatukai chini kama sasa hivi dawati moja wanafunzi wawili na madawati yanabaki ya kumwaga tu...
Mkuu unataka tujifunze kwa mtu aliyeshindwa kuuza karanga? ambazo zilikuja kama upepo na zikaondoka kama upepo? nenda madukani kaulizie chibu perfum ukiipata njoo uchukue kodi ya nyumba ya mwaka mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.