https://jamii.app/JFUserGuide you baba.... https://jamii.app/JFUserGuide youuuu..mpaka leo unanifanya ni hishi kwa shida tu uka mwacha mama. ukaweka malaya mmoja tena kwenye jasho la. familia na nakupa taharifa kihama chako kinakuja mda si mrefu.....niacheni kwanza maana namengi yakuandika apa maana kurasa azitoshi
mi nashangaga sana kwa mwanamme ulie kamilika unalilia mapenzi,ivi nini maana ya kuwa mwanaume,wallahi sijawai kosea kwa mwanamke juu ya mapenzi,namwonga au kumpa sijuhi izo ma ATM kwa kipi aswa ina zalisha pesa iyo?ebo!
aisee..mi nshakula papuchi za bure mpaka nkachoka mwenyewe tena wenye kujifanya ni wajuaji,wajanjajanja.nasikitika sijatoa ata mia nacheza na "maneno" ya ulaghai tu.
tena umeanza na salamu ya mungu kama pastor kumbe...mwizi tu kama hao wa vyeti feki.ameanza na la vyeti atakuja na huko kwa wapenda ngono.tusitaftane niayo tu
hahahahaha! daaa! kumbeee! ndo maana...!leo ndo na amini pesa sio kitu mbele ya "dushee" mimi ndo maana nawa pelekeaga moto mpaka,ili kuepusha dharau kama hizi.
alafu ata sikuelewi kabisa ulicho andika,anyway mimi naisi umesha logwa na uyo jamaa maana naona kama movie tu ila jua akili yako haiko sawa nilicho gundua kwako unamwonea uruma anavo lia na kunywa mipombe,tafakar chukua atua.
sidhani kama una point ya msingi apa wengine tumepitia kwenye majumba ya watu kwa upande wa ma house boys sidhani kama inanguvu.alafu usiwaaribie vibarua hboys.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.