Huna hoja uto. Kuna watu wana maisha magumu na hawafuatilii mpira achilia mbali simba na yanga.
Kama unaamini kabisa watu zaidi ya elfu 40 wanaoingia pale kwa mkapa kushabikia simba au yanga wote umewazidi uwezo, utakuwa na akili kisoda.
Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.
Mwajiri bora uwaongezea mishahara...
Utetezi wa hovyo sana. Kwa mchezaji kama mzize mwenye mchango mkubwa klabu inayojielewa ingekaa nae haraka kuboresha masilahi hata kama hapo kabla alikubali kiduchu.
Hapo akitaka kuondoka atawekewa mizengwe ya kiswhahili swahili. Sema wachezaji wa kibongo nao wamekaa kizembe zembe hata...
Unahitaji vitu vitatu Ili uishi milele (1)kuzuia kuzeeka (2) nguvu(sio hospitalini) ya kuondoa majeraha ya aina yoyote. Yaani kuurudisha mwili kama awali kama vile hujatokewa na chochote (2)nguvu ya kuzuia roho isichomoke
Mwanadamu bado sana kuzuia kifo.
(1) Uto alipewa penati ydhidi ya Namungo kwa faulo ya mchongo kwa feisal
(2) uto alipewa penat ya.mchongo kwa faulo nje ya 18 dhidi ya geita gold
(3) magoli halali ya gwambina na kagera sugar yalikataliwa walipoifunga uto
(4) uto alipewa penati kwa faulo nje ya 18 dhidi ya simba baada ya...
300,000×1000=300,000,000.
300,000,000x30=9,000,000,000.Huko shule mlienda kusomea ujinga hadi mnaleta mada za wabongo movie za kulisha nguruwe kwa bilion 9 kwa mwezi?
We kweli utopolo. Sasa kipindi hicho hiyo nyingine inaishia robo fainal 4 hujui kama uto ilikuwa inaishia hatua za awali? Au unafikiri uto imeanzishwa juzi? Au nyinyi uto huko kwenu timu kubwa ni kuishia hatua za awali mara nyingi.
We kweli utopolo, hapo unajiona eti una hoja. Kwanza ujue timu lenu kongwe lenye miaka 80 kabla hii robo ya juzi ilikuwa imeshiriki makundi mwaka 1998 .Yaani zaidi ya miaka 20 iliyofuatana uto haikuingia makundi. Hayo mashindano yana miaka karibu 60 tangu kuanzishwa kwake.
Ni mwendawazimu tu...
Nakukumbusha tu timu yenu ni kongwe yenye miaka zaidi ya 80. Kwa hiyo kuwa na robo fainal moja ambayo haikufanyi uitwe mwakarobo , ukitumia akili yako vizuri huwezi kujivunia kwa hilo.
Uko sahihi kabisa. Wameandika mpaka 'visit Tanzania' kwenye jezi lakini serikali kimya hata kupongeza hamna. Wamekuja uto kwenye kombe dogo la shirikisho wakapewa ndege, alikwa ikulu.Viongozi simba iacheni serikali na timu yao ya uto fanyeni mambo yenu.
'Visit Tanzania' imetangazwa bure na simba karibu misimu miwili kwenye mashindano makubwa ya CAF. Je 'Visit Tanzania' haikuwa uzalendo?. Ila ni dhahiri tu serikali wanaiona uto ni timu yao wakati timu yao ni Tanzania Prison , Polisi Tanzania na JKT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.