mshana jr;wachina ni washenzi hawajitangazi lakini siku wakiamua kujianika dunia itabaki na taharuki
wtz mbona tulionyesha makomando siku ya muungano name uhuru kenyata alikuwepo
Hawa polisisisiem wametuchosha b 200 za wananchi zimeibiwa hakuna mtu hata mmoja wa kusingizia kumkamata na kumuachua kama mwigulu au mhongo tujue basi wanafanya kazi sasa maskini hawa wafanyakazi wa ndani na ugaidi wapi na wapi
bora chadema wanaingiza vitu kwa uwazi ccm wao hata kuwambia wanachama wake kilichoingia ndani ya chama hakuna eti wana sera ya usiri serikalini hadi kwa chama la maana kwa wanachama wao ni kugawa kofia,t-shet,na vitambaa kwa wabibi zetu kwa msafara wa kinana kuna gari limesheheni madudu...
[mmaranguoriginal.;mbona cdm mlichangisha mapesa ya wananchi kupitia star tv hatukulalamika,wewe ni machicha ya mbege kweli[
hawawezi kutumia TBC wanajua wananchi walio wengi hawaangalii TBC ya ccm
tunaomba camera ielekeze ilipo nyomi ya watu kama mikutano ya ukawa au ukawa imekula dili na star tv iwe inaonyesha watu waliovaa nguo za ccm tu ambao sio wengi
Ni wazee wachache tu ambao bado wana imani na serikali ya ccm wengi wao akiwemo huyu mama hawana shida tena na serikali hii dhalimu isiowajali hata kimatibabu haswa huku kwetu vijijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.