Dah umenena bt wanaume 2 much wanazaa watoto wengi nje na c rahsi kujua coz c hawabebi mimba?acheni jamani hyo ni laana coz watoto wanateseka we umeka na wengine hom eti, mwanangu nikununulie nn, wakati wale wa kule hawana fursa ya kukuskia wale sio wanao 2jirekebishe!
Jamani ni hv, nina mpenzi wangu ambae anaishi maeneo ambayo wa2 wanapachukulia kama pabaya means social cervices hazipatikan ss marafiki ninaoish nao kila lililobaya wanaelekezea huko mara oh mimi kama mm siwezi ishi huko. Sio kwamb wananambia ila wanasema ktk story zao na mengine mengi ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.