Mohamed Dewji
Liyaqat Parker Mfanyabiashara maarufu nchini Afrika ya kusini aliyetekwa na kuachiwa baada ya kulipa Randi milioni 3.4
Na. Habibu mchange
Leo Oktoba 11 mfanyabiashara maarifu nchini Tanzania Mohamed Dewji ametekwa na watu wasiojulikana katika hotel ya Collosium ambapo...
Kwa kipindi cha siku kadhaa sasa tumekuwa tukishuhudia maneno makali kutoka kwa wanachama na viongozi wa Chama cha CHADEMA kwenda kwa kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO ndugu Zitto Kabwe.
Njia mbalimbali zimetumika kufikisha mashambulizi hayo huku mitandao ya kijamii ikishika hatamu sambamba...
VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA.
----------------------------------------------------------
Kwako Rais John Pombe Magufuli,
Waziri Wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba na Viongozi wengine waandamizi wa serikali.
Watumiaji wakuu wa Dawa za kulevya za aina zote hapa nchini ni watanzania...
Nimesikiliza Video inayosambaa kwa Kasi Mtandaoni inayomuonyesha Karani na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akiwatuhumu Edward Lowassa wa CHADEMA na Zitto Kabwe kiongozi wa chama wa ACT WAZALENDO.
pamoja na kumsikiliza zaidi ya mara tatu lakini sipata kuelewa alikuwa anajaribu kumaanisha...
Magufuli tupatie mashamba tukalime baba, jana umeagiza tukamatwe, tupelekwe kambini tulime kwa lazima.
Hakuna haja ya kukamatwa baba, tupatie tu mashamba tutalima wenyewe, kule vijijini kila pori tunalogusa tunaambiwa la mwekezaji, kila shamba tunaloliona tunaambiwa la mheshimiwa fulani...
kwa hali kama hii, ni vyema tukaruhusu wenye facts na evidences zaidi washindane kwa kuziweka hadharani.
mimi ni muhanga wa haya mambo ya kukashifiana na kushambuliana hasa mitandaoni...hivyo naenda kw step sana
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.
jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.