Furaha amejaa kwenye 18!
Alipokuwa kwenye tume ya makinikia alikuwa mbabe sana Hadi Kwa prof M. Furaha ni bilionea. Ana semi zaidi ya 10, furaha FM, furaha tv, Maza yake kamnunulia vanguard na T.,...D, mjomba ake wa ukweli FS amempa noti nyingi sana.
Dogo anakiburi sana.
Fast jet niliipanda dar mwanza kuwahi Dem wangu aliyekuwa amechumbiwa na tajiri wa madini wa Kahama.
Nilipofika saa6 mchana nikamwambia Dem anisubirie nimalizie chuo nimuoe. Nikaenda kumjaza kwanza na saa 12 jioni akanisindikiza airport mwanza nikareje mzizima Kwa nauli ya 96,000/= nilikata...
Hadi uteuliwe Kuna michakato. Dogo anaenifua kuwa tu boss wa eneo fulani alisaikiwa, na familia zilihojiwa.
Wateule ambao Huwa hawahojiwi sana ni wateule tayari.
Ikulu wapo makini, yakitokea makosa ni udhaifu wa kibinadam.
Uteuzi wa Sasa wanakudukua tu mawasiliano Yako na ndugu wa karibu na...
Hata wenye kadi kama hawana koneksheni na wenye chama Kwa Ngazi husika ni kumpoteza muda tu.
Kwa Sasa Kila mtu ana kadi ya CCM lakini moyoni anautashi wake. Kumiiki tu kadi haitishi, lzm uwe na mtu mzito.
Mwakani utakuja uwashukuru mabamedi na wauza nyabe wote Kwa kukupunguzia mzigo wa shahawa ulizopaswa kumwaga nyumbani kwako lakini Huwa unapewa Kwa masimango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.