Naomba unipe darasa kidogo la namna ndege inavyo adjust altitude ili kufuata curve. maana kwa uelewa wangu ndegge ikishapaa ikapata usawa wa saffari yake kama ni FT 20 atatembea nazo mpaka atakapotaka kushuka sasa hiyo curve inaifuata ndege au ndege inafanyaje ffanyaje ili iwe ina jiudjust...
Ndio..!! Ila kwa wale wenye kuyatafakari maisha hasa katika kutaka kujua Sababu ya Kuzaliwa na Kuishi hapa Duniani ni ipi. Majibu yake yapo kulingana na namna dunia na vilivyomo vinavyoenenda katika ushahihi wake.. ikiwa kuna linalopindishwa maisha tutakayoishi yatakua ni kwa mujibu wa wale...
simple tuu na kama kweli wewe ni mdadisi na mfukunyuzi na unaeweza kujaribu kitu... mi nakupa zoezi dogo tuu ili uweze kuihoji elimu yako na uffahamu wako.
1. chukua mpira wa miguu... uchore mabara yote. Chukua sinia, lichore mabara yote.
2. Kwa kuzingatia center ya mpira ambao tutasema ndio...
Hiyo elimu yako ya phisics na anga uliyoipata je umeipata elimu hiyo katika usawa, yaani ya dunia tambarare na dunia mviringo? au umeipata elimu moja na kuiamini hiyohiyo.?
Elimu ya Dunia tambarare inapatiakana na imeelezea yote yanayoelezewa katika dunia mviringo someni kwanza ndio tuhojiane...
ninachotofautiana na wewe ni sehemu ndogo sana... ndio maana unatumia nguvu kubwa kukosoa hoja na kuweka yaleyale tuliyofundishwa ambayo mimi kwa uelewa wangu nilikua napata utata...
ila nilipobahatika kujifunza na hoja za fflat earth mengi ya yaliyokua yananipa utata yanathibitika kirahisi na...
NDIO..!! kwasababu macho yangu Hayadanganyi... Au una mfano wa kipi tukionacho kilivyo sivyo kilivyo?
KUMBUKA KUNIJIBU..!
Kwakuangalia angani wakati Mwezi ukitembea na wakati Jua ikitembea, Kuna utofauti gani wa mitembeo hiyo hadi tuamini Kimoja Hakitembei?
Na Kwanini Hauamini kua mwezi...
Umeandika UONGO MAN na sio vizuri kabisa.. kweli O-Ten yupo Moro na ukweli ni Hatumii Dawa labda kama haumaanishi Unga... Tuzungumzie mengine kwa hili Umedanganya Sana. Zaidi muda wowote utakaokutana nae amependeza na anaweza kwenda sehem classic yoyote na asishangaze.
Mfano wa Jua kuzunguka Dunia unaupata hata katika saa ya Mshale, na Ujue tuu wazee wa zamani kutumia Jua kujua masaa ndio kulileta idea yakutengeneza saa ya mshale kwa kufuata hesabu za mzunguko wa Jua linapoizunguka dunia Masaa 24.
Na katika hili nikugusie kidogo sababu ya wewe Kudanganya...
Mifano sijui ya ukiwa katika usafiri utaona kama miti inarudi nyuma na blablabla nyinginezo, lakini mbona hamuulizi je wakati unaona miti inarudi nyuma unapokua katika hilo gari, mwili wako unakua unafeel vipi? Je kwenye kuona jua linatembea kumbe ni Dunia, Je Miili inapata hisia yeyote yakuwamo...
Asante..!! Nikianza na swali lako la mwisho ulilolisapoti kwa video... hapo kinachoonekana ni majengo yanamove... lakini kiuhalisia ni camera ndiyo inayotembea, na hilo mtu yeyote anaweza kulithibitisha kwakujaribu yeye mwenyewe kufanya hivyo.
Isipokua kwa kesi ya Jua, wewe binafsi...
Tunaangamia kwakukosa maharifa..!!
MUNGU NI NGUVU YA AJABU SANA.
Sifa zote za Mungu (hiyo Nguvu) anazo/yo Mwanadamu mwenye JInsia Yeyote ile, hivyo kila mtu anaweza kutumia taswira ya Nguvu ya Kimungu na kuipa Jinsia kwa kadri aiaminivyo katika kuamini kwake..
Mfano panapokua na hatari au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.