Huo ni utaratibu tu....tena kuna wengine ambao wanachoma kabisa mwili wa marehemu na kubaki na majivu! lakini suala la pesa lina nyanja tofauti nyingi tu katika hizi imani tulizonazo siku hizi
Suala business oriented lipo katika nyanja nyingi sana, si kwenye misiba tu! pamoja na hilo hata katika misiba ya watu maarufu waislam...pia tunawaona viongozi wao kibao tu! achana na pesa bana
Mkuu hoja yako nimeipenda...kwakweli pesa inazidi kuleta shida katika dunia hii! haya mambo yapo na tunayona sehemu nyingi tu.
Lakini hili ni kwa dini zote zilizopo katika dunia hii, ni kweli wengi wanahamia katika makanisa ya kiroho....ambayo pia mwisho wa siku ni 'business oriented'
Hiyo ni age yake ya kufanya hivyo ambayo kila mtu anaweza kupitia inategemea na mazingira yake! tatizo linakuja kwa yule anaekutana nae......siku hizi ma-BAZAZI wengi mtoto kama huyo akijichanganya amekwisha
Fashen tu na sifa za kijinga....itakuja itapita itakuja nyingine pia itapita! kama vile wanaume walivyoanza kusuka,kuvaa eleni...kata k, na sasa kata k ya mtindo wa kuacha boxer nje.. basi mbwembwe tu za kidunia japo zinamadhara yake kimaadili
Hizo dalili sio nzuri....and i dont think kama unahitaji uchunguzi, angekua mke wako may be ungeanza utaratibu wa kufanya uchunguzi na mambo mengine! just go straight muulize atachanganya taarifa tu na utampata, na kama atakua mbali na wewe kwa muda mrefu basi ni bora kufanya maamuzi magumu
Mkuu nimekupata vizuri sana… na hii ndio kiu haswa tunayoijua ndio maana "Alichonacho alipewa kwa matumizi yangu wajamani!" Lakini siku hizi kuna kiu za kisasa au kiu feki ambazo hupelekea "Aliumbwa anitumikie sasa ataka kunigeuzia kibao" well done kaka
Hivi jamaa karibu anabatizwa huko sie tunakazana kutoa ushauri huku...hii nimeipenda, but tunajaribu kulinganisha mambo mawili ambayo bado hayajakaa level
Huyo anayekupenda ameshakwambia na hatua umeshaziona, na huyo unayempenda uliongea nae? pengine ungepata muda wa kukaa na kusema naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.