Search results

  1. C

    Mwanamke aliyekulia kwenye malezi ya baba na mama vs aliyekulia kwenye malezi ya single mamas

    Inasemekana mwanamke aliyelelewa katika familia ya wazazi wote wawili anapoingia kwenye ndoa anakuwa na ufahamu wa juu kuhusiana na majukumu yake kama mke kwani tokea akiwa mdogo amejifunza hilo kutoka kwa wazazi wake ikilinganishwa na aliyelelewa na mama tu ambaye anakuwa hajapata elimu hiyo ya...
  2. C

    Nilichojifunza kutoka kwa Mandela

    Wakati maombolezo na wasifu wa komredi Madiba vinaendelea nimejifunza jambo moja la msingi ambalo ni msamaha, mipaka yake na mambo ambayo yanasameheka na ambayo katu hayasameheki ( kama vile mfungwa wa mauaji asivyopata msamaha wa rais). Kwa kifupi ni kwamba mkeo kupigwa nje ni dhambi...
  3. C

    Katika msiba anayeliliwa ni marehemu au wanajililia waliobaki hai?

    Watu wanapolia msibani huwa wanalilia nini ktk mambo haya? 1. je wanamuonea huruma marehemu huko anakokwenda? 2. au wanalia sababu tu wamemzoea na hawatamuona tena? 3. au sababu haijulikani what happens after death? tusaidiane mawazo
Back
Top Bottom