Mi ninadhani hili jina Blandina Nyoni kama sikosei nalikumbuka liliwahi pia kutajwa katika maofisa wa serikali walioshiriki kikamirifu katika kufanikisha mikataba feki hasa ule wa Richmond! na ni miongoni mwa maofisa ambao kamati ya bunge ilishauri wawajibishe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.