Simu yangu ni galaxy t-mobile, but nnashindwa kuin stall baadhi ya apps km vile whatsapp plus na instagram. Nikitaka kuinstall inanambia there iz a problem in PACKAGE INSTALLER.
So cjui tatizo liko wapi.
Msaada plz
Wana jamvi laptop yangu aina ya Dell imeanguka chini na nilivoiwasha ikawa haitoi mwanga ila inawaka na unaweza kuitumia wakati wa mchana kukiwa na mwanga wa jua..sasa sijui tatizo hapo n nini?naomben msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.