Hahahahahahaaa Eti eheeee, sasa Mbona mlisema mtawavua gamba mmeshindwa sasa mnatoa Maonyo makali na makaripio makali tu.. hahahaa CCM mmekwisha kabisa na Lowassa ndo anakwenda kuwamalizia.. CCM ndo imejenga utamaduni wa kuchuuza madaraka sasa kwanini wanachama wake wasifuate utamaduni huo wa...
Lowassa akiguswa lazima Pasco wa JF povu limtoke.. hahahaaaa mtajijua na LiCCM lenu kama ulivyosema CCM is not a determinant kwenye urais 2015, Daftari likiboreshwa CCM kwaheri...
Hiyo ni danganya toto tu.. Wazee wa maonyo makali na Makaripio makali, lini hasa mtachukua hatutua dhidi ya wavunjifu wa maadili? CCM you are done, hao mnao wapa Maonyo ndo mnataka wawe marais wa nchi yetu..
Kam Sheria za Kimataifa zinaruhusu kufanya hivyo kwanini wasifanye, halafu pia hakuna utashi wa humu ndani uwe wa kikatiba au wa kisheria wa kumburuta rais aliyeko madarakani kotini.
Hivi huyu mnayemwita rais Kikwete anajua matukio yaliwakuta wafuasi wa Chadema kwenye kila chaguzi? Mimi nadhani sasa ni wakati wa Chadema kutekeleza ule mkakati wetu wa kuimarisha vikosi vya ulinzi wa Red Brigade, maana hali ya hatari imeshatangazwa dhidi yetu na hili halina kificho sasa ni...
Vikosi vya ulinzi vya Chadema Red Brigade, vijipange Kalenga na Chaguzi zijazo hali haitakuwa salama kwetu kama ambavyo imekuwa siku zote, Wafuasi wa Chadema wamekuwa wahanga wa green guard kila uchaguzi, na sasa Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi la Green Gaurd ambaye ni Mwenyekiti...
Gharama za serikali tatu zimo ndani ya hizi serikali mbili maana Tanganyika imo ndani ya serikali ya muungano., zikitenganishwa na gharama zake zitajitenga.. tuache kuwazuga watanzania na swala la gharama hili li serikali la CCM lina mawaziri 60, wengine hawana hata wizara maalum.. wanatumbua...
Mara wanakaa eti vikao vya maridhiano, mnaridhiana ni i wakati watanzania walishatoa maoni yao na wameshayaweka kwenye rasimu, Maridhiano yalitakiwa yafanywe kabla ya kukusanya maoni ya wananchi.. ili muweke misingi ya kisheria itakayolinda maridhiano ya kitaifa.. sasa kuita vika vya wanasiasa...
Kuna watu wanalinganisha misuli ya Chadema ya Mwaka 1992 na Misuli ya CCM ya Kutoka TANU hadi CCM ambayo ilirithi mfumo dola wa Chama kimoja na ikahama nao kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi, Nyerere aliwahi kusema CCM inapaswa kuanza upya kama vyama vingine isirithi mali zilizokuwa kwenye...
Hii nchi inahitaji upinzani imara kuendelea serikali za mseto zinafanikiwa kwenye democrasia zilizokomaa sisi bado.. Hata kama Chadema itashinda dola bado tutahitaji upinzani wenye nguvu na uwezo wa kuitoa chadema madarakani.. Kwahiyo achana hizi hekaya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.