Duuuh, haki ya mungu, hawa tcu wameamua kuniumiza kichwa,tumbo, mafua yan siwaelewi! coz kuna watu wamechek kabisa katika chipi zao za airtel af eti now hakuna namim sijaangalia yan daaah! bhas bhana mungu anajua
Sasa wewe ndugu yangu, umeambiwa ya jana ni ya leo? mi niliwaomba watu wanicheki ktk majina ya watu wasiopata vyuo ndo wakasema mimi simo, alaf leo una kuja moto ooh cjui nin aaah unakera kichwa cha habari hiki tofaut na kile cha jana xawa?
Duuuuh! emb msaada zaid jamen yan cjielewi now! i dont understand any thing yan dah! jaman plz nichekien jina Ambumbulwisye Asukile tafadhar na samahan kwa usumbufu
Kama vp umvizie siku moja ukiwakuta tu, mkamate uyo mkuu mgege anapo stahili na mkeo atakuheshm ataogopa alafu atajengwa heshma kwa una gegeda hata wanaume bhas hatari
Ahsante sana mkuu wang umeeleweka sana na nashukuru kwa maelezo yenye kuonesha unajali maana kuna watu humu wamekalia kukosoa bila maelezo hawajakombolewa na elim yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.