Search results

  1. A

    TCU selections are OUT!!

    Majanga ni kazi kweli kwel
  2. A

    Kuangalia selected program, swali

    Nimekupata kaka, ngoja mungu na malaika wake afanye mambo
  3. A

    Kuangalia selected program, swali

    KAka ukisema ulitaka kuzimia unakuwa ka unanisema mimi na hata sasa sina aman joh!
  4. A

    Kuangalia selected program, swali

    Daaaah! thanks kaka, ujue inabouwa kwani wengne tayari washaona kwaiyo ambao hatujaona wanatutesa knouma kaka yan siyo sir nimekora raha!
  5. A

    Kuangalia selected program, swali

    Duuuh, haki ya mungu, hawa tcu wameamua kuniumiza kichwa,tumbo, mafua yan siwaelewi! coz kuna watu wamechek kabisa katika chipi zao za airtel af eti now hakuna namim sijaangalia yan daaah! bhas bhana mungu anajua
  6. A

    HatimayeTcu watowa majina ya waliochaguliwa elimu ya juu na kiwango cha mkopo

    Sasa wewe ndugu yangu, umeambiwa ya jana ni ya leo? mi niliwaomba watu wanicheki ktk majina ya watu wasiopata vyuo ndo wakasema mimi simo, alaf leo una kuja moto ooh cjui nin aaah unakera kichwa cha habari hiki tofaut na kile cha jana xawa?
  7. A

    HatimayeTcu watowa majina ya waliochaguliwa elimu ya juu na kiwango cha mkopo

    Duuuuh! emb msaada zaid jamen yan cjielewi now! i dont understand any thing yan dah! jaman plz nichekien jina Ambumbulwisye Asukile tafadhar na samahan kwa usumbufu
  8. A

    Hivi ni mimi tu?

    Teh.....teh.....umenfanya nicheke kaka, huenda ww nyota ako ni ya "gegedu"ndo mana unagegeda tu
  9. A

    Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

    Kama vp umvizie siku moja ukiwakuta tu, mkamate uyo mkuu mgege anapo stahili na mkeo atakuheshm ataogopa alafu atajengwa heshma kwa una gegeda hata wanaume bhas hatari
  10. A

    Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

    Ongea na mkeo kwanza ndo wa kumsikiliza anasema nin! Usiwe na haraka ya kamba utaingiza hasara watoto wako we vip?....
  11. A

    Tangazo la JKT

    Duuuuh, kwa kwel jkt mi sikupendi kabisa, sekta ya elim hii utumbo mtupu oooh! ahsante kwa ulietujulsha bwana
  12. A

    Majina ya form six wasiyo pata vyuo mwaka huu

    Nashukuru xana ndugu nimefurah pia kwa kupata taarifa kama hiyo ahsanteh!!
  13. A

    hawa ndo waliopata vyuo kweupeeee....!!

    Kwaiyo wewe ukisema, hawa ndo walichaguliwa si ndo pakuwaonesha bhana? acha masihara yako ya fb humu ndani!!
  14. A

    Walio fanya application tcu

    Ahsante sana mkuu wang umeeleweka sana na nashukuru kwa maelezo yenye kuonesha unajali maana kuna watu humu wamekalia kukosoa bila maelezo hawajakombolewa na elim yao
  15. A

    ITV kipima joto.Wanasiasa wanaotumia "Dini" kama njia ya kutafuta uongozi je wanafaa?

    Hawafai kwan ni zaid ya wanafiki, kwanza wana mfanyia unafiki mungu alafu wana wafanyia unafiki raia hao ni wapuuzii japo siyo wote wapo hivyo
  16. A

    Maana yake nini ?

    Ndiyo anaye wahi anapata lakn unamaana gan sasa?
  17. A

    Majina ya ambao hawajachaguliwa na TCU

    Aaaah, wap kuna haja ya kujua mapema bhana tcu ndo maisha yetu au?
Back
Top Bottom