Search results

  1. A

    Kwa nini pesa za noti za Tanzania hazina mwaka

    Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili suala. Mi naona hapo walichemka kwan nchi nyingi hela zao zina mwaka wa kuchapishwa, na hii ni muhimu ili kudhibiti wale wanaohodhi fedha bila kuziweka kwenye mzunguko wa matumizi. Mfano leo hii dola ya mwaka 199 au 2003 ukitaka kubadilisha ili upate...
  2. A

    Kisunzua

    kwanza wewe una umri gani? na hivyo visunzua vinakutokea maeneo gani ya mwili?
  3. A

    Ukiwa na Mamlaka ya Kujitangaza Umeshinda uchaguzi basi jiapishe........

    Jaslaws usiwe kilaza jaribu kuisoma katiba ya Zanzibar kupitia vifungu hivyo!
  4. A

    Umewahi kuishi na watu wa aina hii?

    aah hiyo ni kawaida tu na misimamo ya mtu, kwa mfano mimi nilipanga nyumba moja hivi kwa muda wa miaka minne lakin sikuwahi kukaa barazan kupiga stori na watu, sasa watu wakawa wanasema naringa jambo ambalo si kweli, mpaka nikahama baada ya miaka miwili kupita faza house akafariki nikaenda na...
  5. A

    Mchumba wangu hamtaki dada wa kazi aliyemkuta kwangu, hamuamini

    Dah hiyo yote ni kwa ajili ya hiyo mimba tu, kwan uzoefu unaonesha wanawake wakiwa na mimba wanakuwa kama wagonjwa vile! We ni kumvumilia tu ikiwezekana mpe likizo huyo dada wa kazi akijifungua mrudishe aendelee na Kazi so long as we ndo mwajiri.
  6. A

    Wimbo upi? Kumbukumbu ipi?

    Kwangu ni I dont wanna miss a thing by aero smith in late ninties ulikuwa unanipa hope sana hasa kwenye kutimiza ndoto zangu kimapenz na kimasomo
  7. A

    Mke wangu hataki kabisa mazoea na dada wa kazi

    mkuu mi nadhan mkeo anakujua in and out yako ndo maana ana kaba hadi kivuli. ili kimjenga iman kuanzia sasa dada wa kaz awe sehem ya familia yako na si mfanyakaz alaf utatupa mrejesho
  8. A

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    politics za kibongo hizo! nataman sana kuwepo mgombea binafsi!
  9. A

    Kweli wana Dar es salama ni tegemezi wa Mshahara kwa kiasi kikubwa!

    Mkuu pole hivi bado kuna watu mishahara bado! ni pm nikupungizie makali
Back
Top Bottom