Ufisadi anao mwenyekiti na familia yake na ndio maana ameua demokrasia ndani ya chama na kuja na majina kutoka mfukoni mwake! Mwaka huu lazima muondoke tu!!
Wakati uchaguzi unafanyika Zitto alikuwa tayari ni mwanachama na mbunge wa CHADEMA wa Mahakama tu. Na hata kabla ya hapo Zitto alikuwa tayari ameshawekwa pembeni na mambo yalikuwa yanaenda vizuri. CHADEMA ni chama sio mtu binafsi. CHADEMA ni bora bila Zitto, na wanaolalamika kuwa angebaki CDM...
Hiyo kauli Huwa Inanikera sana!! Kiongozi mzuri wa wapi? Unaposhauriwa si na wewe una akili? Jtuachetmtindomwankusingizianwashauriskwari kwa kwa matendo ya washauriwa!!
Wana Sengerema na Chadema tuwe makini na watu wa aina hii. This is Shibuda type! Haiwezekani mtu anahamia Chadema na kutangaza nia ya kugombea ubunge!!!
Ni kweli wananchi wengi wanaitegemea lakini ni walalahoi tu ambao ndio waajiri wa Kikwete na serikali yake. Inatakiwa iboreshwe ila hata viongozi watibiwe hapo. Sio kukimbilia tu nje hata kwa magonjwa madogo madogo na huku wakiacha wananchi wanakufa na hawana pa kukimbilia.
Ndio hivyo mkuu!TBC ipo kwaajili ya Magamba sio chombo cha wananchi wa Tanzania. Nilikuwa nasikiliza kupitia WAPO Radio nao wamekatisha Matangazo wakati Lissu anaendelea kutoa ushahidi wa kutokuwepo hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lissu si Jembe tu bali Kiboko ya Magamba.
Mkuu kama strategists wa CCM ni akina Tyson, Lukuvi, Nepi, na Nchemba unategemea nini? Wangekuwa wana akili nzuri wangefikiria kuimarisha chama chao na kutatua matatizo na kero za wananchi badala ya kuhangaika na CDM ambayo inapata umaarufu kila kukicha kwasababu ya hizo mbinu chafu. CCM...
Na hilo ndio neno la leo! Silaha kuu ya CCM iwe ni kuboresha maisha ya watanzania na sio kutumia mbinu chafu za kutaka kuiua CDM. Hilo kwa sasa ni gumu sana kwani kila mtanzania anajua hiyo yote ni kazi ya Magamba. By the way, CCM na serikali yake wanatumia nguvu kubwa sana kujitetea wakati...
Kazi kweli kweli wakuu! Nchi hii haina mwenyewe ndio maana hata mkuu wa wilaya anatukana atakavyo kwasababu anajua hakuna atakachofanywa! Bosi wake JK naye ndio hivyo hivyo mara wanafunzi wapatao mimba wana kiherere mara wafanyakazi ni mbayu wayu! Hakuna utofauti ndio CCM hiyo ya sasa ile ya...
Mkuu wote Bibi (CUF) na bwana (CCM) wanacheza ngoma ya CHADEMA. CHADEMA noma, na M4C ndio usiseme kabisa!!. CUF na CCM hakuna wabunifu ndio maana wana bakia kudandia dandia gari (CHADEMA) kwa mbele!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.