Nafsini mwaugulia, mlotaka Lisu afe,
Sirini mlivyomkalia, kula njama dhidi yake,
Mkitweta na kupania, eti Lissu aondoke,
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake.
Mjengoni mlimtishia, kwa kugwaya hoja zake.
Na bila soni nje pia, kufisha maoni yake.
Mkishindana kumjazia, hata kesi ziso zake...
MSAJILI WA VYAMA TZ, SASA NI KUHANI MKUU.
Naona maandalizi ya kuanza rasmi ibada za kuabudu mtu (Personality Cult ) ndani ya CCM na ndani ya nchi nje ya CCM, yanaendelea kwa bidii.
Wanaosaka japo ushemasi tayari wameanza kuitangaza injili yao butu. Usipokubali kumwabudu, utabanwa huko uliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.