wasomi watanzania ni waoga maprofesa wetu hawawezi kusimamia kile wanachoamini wanaongea kikasuku kwa kusifia tabaka tawala wanasahau kuwa elimu walizonazo zinatakiwa kutumika kulikomboa taifa ila wao waseme tu WATANZANIA walio na elimu ya kawaida watawakomboa hata maprofesa kwa kuichinja ccm...
mwacheni slaa amechanganyikiwa alimsalliti Mungu akaacha upadri akaoa ona sasa mambo ya ndoa yanavyomsumbua mwanaume unakosa msimamo mpaka mke wako akuamlie?
Kila kukicha naomba Lowassa awe raisi kuna kundi la watumishi wa umma {WALIMU} wanatia huruma wanaonewa lakini hawana mtetezi nalia naumia nasikitika halafu CWT nao wasivyo na huruma wanaungana na serikali kuwatesa walimu nasikia wamekopesha serikali inauma mtu anayekutesa unamsaidia? walimu...
MAGUFULI uko sawa hatuna shida na wewe shida yetu ni CCM haki ya MUNGU ungegombea chama kingine ningekupa kura yangu ila kwa ccm nisamehe bure tumechoka kama unavyosema na wewe umechoka toka huko uje tusaidiane mabadiliko maana hamna namna nyingine sasa waondoke tu
Tatizo kubwa la baadhi ya watanzania wanapenda kulamba nyayo za watawala kwasababu ya umaskini wa kipato, fikra na upeo chagueni mabadiliko mpate ukombozi wa kweli ili muwe na fikra huru zitakazoweza kuwasaidia kutetea weledi wa taaluma zetu sio kupotosha na kudanganya umma
Tatizo kubwa la baadhi ya watanzania wanapenda kulamba nyayo za watawala kwasababu ya umaskini wa kipata, fikra na upeo chagueni mabadiliko mpate ukombozi wa kweli ili muwe na fikra huru zitakazoweza kuwasaidia kutetea weledi wa taaluma zetu sio kupotosha na kudanganya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.