Hamjui hujuma zinazo fanywa na serikali ya ccm eti kukomoa majimbo yanayo ongozwa na upinzani mjinga peke yake ndiye anaye weza kutotambua hujuma dhidi ya Arusha
Lo! kweli leo elimu imetolewa. Hebu walo tia pamba masikioni na wanadhamana ya kuinasua nchi katika mkwamo huu watoe pamba hizo wasikie kile kinacho zungumzwa na wataalamu.
komekaone;8921164]Wakuu tunawaomba mtujuze, kwa sisi Walimu wapya watarajiwa ni vitu gani muhimu ambavyo vitatakiwa tuwe navyo mara tutakaporipoti kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tutakazopangiwa na pia katika shule husika. Tunaomba mtujuze mapema itatusaidia kuandaa mapema, na pia itatuepushia...
Mkuu ndivyo walivyo hao, kumbuka hata katiba ya sasa wananchi waijui kunasehemu mimi nilifika nilishangaa mwenyekiti wakijiji hajawai hata kuona langi ya kava ya katiba nilipo mwonesha akabaki kutoa macho huku kavaa tisheti yake ya Hari mpya, Nguvu mpya na Kasi mpya huku kichwani ameweka kofia...
Mwigulu, sina mengi, bali nakupa pole siku utakapo tambua na kung'amua yaliyohini ya kapeti utabadilika. Kweli kunamsemo usemao "mnyime elimu umtawale"
Usijidanganye kuwa hao watu walikuja nikwajili ya mwigulu wamekuja kutazana simba, amini moyoni mwao hauna mashiko kama ungekua unajiamini kuwa...
Wanajavi hapa tujue tunachezewa ngoma ya mdundiko tu, hawa watu wanajulikana na serikari inawafahamu kabisaaaa...!! na JK anamajina kabisaaaaaa.......!!! sasa tujiulize maswali yafuatayo.
1. Kwanini mkuu wa nchi anayetakiwa kusimamia sheria za nchi zitekelezwe ipisavyo na kulinda laiya kayaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.