Rafiki yangu, nimeandika kuwa dozi inatumika siku tatu tu, soma vizuri maelezo hayo. lakini, pia, hiyo natharia yako ya kuwa vidonda vya tumbo haviwezi kutibika kwa siku tatu ina makengeza ya kiutafiti! Nakukaribisha ili uweze kuifanyia utafiti dawa hiyo, maana kuna madaktari wengi waliokuwa na...
Pole ndugu yangu kwa tatizo hilo, kupitia dawa ya Bhuponi 3, hivi sasa nimetibu watanzania wengi kupona ni asilimia mia moja! Wasiliana name kwa ajili ya tiba. Nitakutibu bure kama mfano kwa wengine, utakachopaswa kugharamia ni gharama za kusafirisha dawa www.drjoshualawrence.blogspot.com
Moja ya tafiti zilizofanikishwa na jopo letu la utafiti wa tiba mbadala ni i katika eneo la tiba ya vidonda vya tumbo. Kwa wale wote wenye tatizo hilo wasisite kuwasiliana nasi kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com atasaidiwa mara moja. kwani tunayo dawa ambayo dozi yake ni siku tatu tu
Wale wote wenye tatizo sugu la vidonda vya tumbo hakuna haja ya kukata tama, waweza kuwasiliana name kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com ili waweze kupata msaada wa uhakika. Tiba hiyo ni kwa asilimia mia moja unapona tatizo lako
Tatizo kuu la mwenendo usiotia matumaini ndani ya vyama hivi likowapi hasa? Je, tiba itakayoleta ahueni kwa raia wa Tanzania ni ipi? Hapa ndipo inapoanzaia njia panda baina yashule ya mawazo yangu na ya marafiki zangu.
Tofauti yangu na wengine haijajengwa juuya tofauti ya kimtazamo juu ya...
Ugonjwa mkubwa wa CHADEMA utakaokiangamiza si mwingine bali ni kuwa na malengo madogo kisiasa na kuyafikia! Na wanapoyafikia wanalewa kiburi cha mafanikio kiduchu!
Pamoja na ukweli kwamba Zitto aweza kufukuzwa CHADEMA, pamoja na ukweli kwamba mwenendo wake kichama una harufu ya usaliti, ni kujidanganya kuamini kwamba uongozi uliopo sasa unaendesha chama kisayansi. Ni kweli Zitto ametindikiwa na nidhamu kichama, lakini ukweli wake na wa marehemu Chacha...
Mkristo yeyote hana budi kuwa na furaha. Biblia inasema furahini siku zote tena nasema furahini. Hili la Mali na heshima lina utata pia, maana tunapaswa kutafuta heshima ya Mungu na wala sio ya wanadamu. Tatizo lingine ni mtazamo wenye ukakasi kuhusu mali. kwamba kuwa na mali ni dhambi! huu ni...
Hata hivyo ukisoma kwa makini tovuti ya matapeli hawa utagundua kuwa uhariri wa Kiswahili haukufanyika! Pamoja na hayo ni vigumu sana kwa taasisi kubwa yenye jina la Jakaya Foundation kugawa fedha kama njugu, pasipo utaratibu unaoeleweka kisheria, ikiwemo dhamana ya mali. Ni wachovu tu wa akili...
kwa vile jina la Rais linatumika kutapeli vijisenti vya walala hoi vyombo vya usalama viko wapi? Nchi imekuwa shamba la vilembwe na vilembwekeze, si la bibi tena
Mwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa wanasiasa wa kizazi hiki. Tunukuu,Good intention will always be pleaded for every...
MH; ZITTO: NA WENZAKO MMEJIVURUGANA KUISALITI DEMOKRASIA MNAYODAI KUIPIGANIAMwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa...
Tunashughulikia matawi ya matatizo na wala sio shina lenyewe, hakika hatutafika kokote! Tatizo kuu ni mfumo wa uongozi uliokosa maono na kuthubutu kwa kimombo, vision
Bado naamini kuwa waziri aliyejiuzulu, ni mtu muhimu sana ndani ya mapambano dhidi ya ujangili ulioundiwa ngome imara. Yawezekana Tanzania isimpate shujaa kama huyu milele. Ni shujaa aliyeangamizwa na oparesheni yake mwenyewe. Operesheni tokomeza majangili ikamgeuka na kuwa operesheni tokomeza...
Bado naamini kuwa waziri aliyejiuzulu, ni mtu muhimu sana ndani ya mapambano dhidi ya ujangili ulioundiwa ngome imara. Yawezekana Tanzania isimpate shujaa kama huyu milele. Ni shujaa aliyeangamizwa na oparesheni yake mwenyewe. Operesheni tokomeza majangili ikamgeuka na kuwa operesheni tokomeza...
Bado naamini kuwa waziri aliyejiuzulu, ni mtu muhimu sana ndani ya mapambano dhidi ya ujangili ulioundiwa ngome imara. Yawezekana Tanzania isimpate shujaa kama huyu milele. Ni shujaa aliyeangamizwa na oparesheni yake mwenyewe. Operesheni tokomeza majangili ikamgeuka na kuwa operesheni tokomeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.