Kwan kuna tatizo gan kuwa na serikal 3? kwa mtazamo wako,tunatumia mfumo gan kwa sasa? usinambie kwamba tuna serkal 1,huo ni uongo! huwez kuwa na serkal 1 yenye marais wawili! na huwez kuwa na serkal 2,mojawapo ikawa na uwezo wa kuingilia mipango ya nyingine!
Ni jambo la kushangaza serkal hii kukurupuka na kufanya maamuz bila kutumia busara! kwanza niwaeleze,hakuna asiependa kutoa kiwango hicho,lakin je,iweje wazir wa tamisem atoe sawa na mpiga debe wa manzese?
kod hiyo,haitaishia mikon mwa watu wachache kama kawaida yao?
Umesahau,mwanza ni wachaga? kigoma ni wachaga? Yaan kichapo cha madiwan tayar mmeanza kuwwseka namna hyo? ngoja nikwambie. km ccm wangekuwa mstar wa mbele ktk kukemea maovu,haya yasingetokea! YEYOTE ALIE NYUMA YA CCM,HANA AKIL AMA NI FISAD,,,!
We naww vp? unajua sana alikuwa na maana ya BULYANKULU,unauliza km hujui et? kwan nikisema,"CHAMA CHA MAJAMBAZ",huwez kunielewa? au nawe MBWIGA wa cc maj?
Nimekuelewa vizur sana,naomba uendelee kutoa darasa,huenda wakajua na kujirekebisha! kwa mtazamo wangu,wabunge wetu hawawez kufanya lolote! kwanza bunge lenyewe lina taswira ya kukomoana kt ya chama tawala na upinzan!
unaweza kutuambia sababu 1,2,3 za lowwasa kujiuzulu?
km alikuwa hana tuhuma,ni waz anawajua mafisad wenzake,mbona hakuwataja?
ww hata umpende vip,watz wote wanajua lowasa FSD,hafai kuongoza hata nyumba 10!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.