Bora wametutolea mkuu wa mkoa cha majungu na mpenda papuchi Rutengwe. Jamaa ni ngoswe huyo na hamna kitu ksbisa kichwani.
RC mzima anaendekeza majungu hata kwa watoto Kisa papuchi!!!!!
Ni kweli NFRA wananunua mahindi ila si kwa 600/kg hapo umedanganya.
Pia ni kweli mdau yupo sahihi, mahindi tunauza gunia 1 shilingi 12000 mpaka 15000. NFRA hawana uwezo wa kununua mahindi ya wakulima wote. Kwa kuanzia wananunua tani laki2 2 tanzania nzima ambazo ni sawa na zimezalishwa kwenye...
Huyu ni mmoja wa kada mashuhuri wa CCM na ni mmoja wa viongozi wa UVCCM wilayani Mkuranga. Huyu kijana amekuwa akifanya ufisadi kwenye pembejeo na ukandarasi na amekuwa akitumia mwanya na kuwatisha watendaji wa serikali hapa halmashauri kwa kulingia cheo chake na kusema kuwa ametumwa na chama...
Wewe usiwe m.p.u.u.z.i jana tulikuwa kwenye press wote usiwe unapinga kila kitu pia kwann mtendaji akiwa strong anaitwa cdm? Kwani mama anakatazwa kuwa cdm? Sheria za utumishi zinasemaje? Serukamba you.
Ni kweli mzee mzizi mkavu hadi kwa umri huu sijaoa japo nimeshajijenga kidogo pia sina hata niliyepanga nae future.
Nilikuwa ni mtu wa mikosi, hasira, kunyanyasa, kuchukiwa, mgomvi, malaya niliyepitiliza. Kwa hali niliyonayo sihitaji mwenza japo nahitaji kuwa na mtoto. Nimekuwa nikilia pindi...
Ni kweli ndugu niliyavunja but kuna kipindi nilishindwa kusimama katika imani pia kila nikijitahidi kuomba huwa napata usingizi mzito ghafla na wakati mwingine huwa nachanganya maneno ila sasa nimerudi kwenye mwanga na huwa nasali pamoja na tb joshua na wise men kupitia emanuel tv. ya
Naamini katika hilo bro na nimempokea yesu awe bwana na mwokozi wangu. Huwa nasali kila siku kabla ya kulala japo kwa wakati huo kabla ya kwenda safina nilichanganyikiwa na kutokuamini katika mungu japo nimekulia na kulelewa katika familia na malezi ya kikristu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.