Search results

  1. M

    LISSU: Zitto alijitetea kwa hoja dhaiiifu!

    Wewe ni mtu ----- kuliko mabwege wote!!!!!!! Bro jitahidi kuficha uchi wa akili yako. Usijitoe fahamu kihivyo.
  2. M

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Kwa kusoma taarifa ya kamati au?
  3. M

    MPANDA: Baada ya mkutano mkubwa wa CHADEMA, Polisi yawapiga mabomu kuwatawanya

    Burton we ni condom tu, endelea na ACT yenu mbona wewe na ndugu zake arfi na mallack hamtuachii cdm yetu?
  4. M

    Kikwete afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa: Mulongo ahamishiwa Mwanza; Masawe wa Kagera aondolewa!

    Bora wametutolea mkuu wa mkoa cha majungu na mpenda papuchi Rutengwe. Jamaa ni ngoswe huyo na hamna kitu ksbisa kichwani. RC mzima anaendekeza majungu hata kwa watoto Kisa papuchi!!!!!
  5. M

    Tunapaza sauti zetu: Mahindi Tsh 12,000- 15,000 kwa gunia

    Ni kweli NFRA wananunua mahindi ila si kwa 600/kg hapo umedanganya. Pia ni kweli mdau yupo sahihi, mahindi tunauza gunia 1 shilingi 12000 mpaka 15000. NFRA hawana uwezo wa kununua mahindi ya wakulima wote. Kwa kuanzia wananunua tani laki2 2 tanzania nzima ambazo ni sawa na zimezalishwa kwenye...
  6. M

    Enock Mayuta na ufisadi wa kutisha halmashauri ya wilaya ya Mkuranga

    Huyu ni mmoja wa kada mashuhuri wa CCM na ni mmoja wa viongozi wa UVCCM wilayani Mkuranga. Huyu kijana amekuwa akifanya ufisadi kwenye pembejeo na ukandarasi na amekuwa akitumia mwanya na kuwatisha watendaji wa serikali hapa halmashauri kwa kulingia cheo chake na kusema kuwa ametumwa na chama...
  7. M

    Mishahara ya OLAM Tanzania Ltd

    wababaishaji tu hao ila nenda kajaribu bahati na kupata uzoefu.
  8. M

    Majangili Wakichina Ndani Ya Serengeti

    Toa upuuzi wako hapa kwani ni uongo? Mnakera sana nyie watu.
  9. M

    RC Arusha Magesa azidi kuteswa na MSULI wa SPORA LIANA

    Wewe usiwe m.p.u.u.z.i jana tulikuwa kwenye press wote usiwe unapinga kila kitu pia kwann mtendaji akiwa strong anaitwa cdm? Kwani mama anakatazwa kuwa cdm? Sheria za utumishi zinasemaje? Serukamba you.
  10. M

    RC Arusha Magesa azidi kuteswa na MSULI wa SPORA LIANA

    jana aliita press bwana waandishi wa habari tulikuwepo wa vyombo vyote dada marry ntente alitupigia simu wote
  11. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Ok nitajitahidi kaka
  12. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Ni kweli mzee mzizi mkavu hadi kwa umri huu sijaoa japo nimeshajijenga kidogo pia sina hata niliyepanga nae future. Nilikuwa ni mtu wa mikosi, hasira, kunyanyasa, kuchukiwa, mgomvi, malaya niliyepitiliza. Kwa hali niliyonayo sihitaji mwenza japo nahitaji kuwa na mtoto. Nimekuwa nikilia pindi...
  13. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Hapana sijashirikisha wazee wa kimila wala wazazi wangu. Naamini siku 1 yataisha na kuanza maisha mapya.
  14. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Amen nashukuru kwa maneno yako ya faraja.
  15. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Amen na ninaamini hivyo.
  16. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Ni kweli ndugu niliyavunja but kuna kipindi nilishindwa kusimama katika imani pia kila nikijitahidi kuomba huwa napata usingizi mzito ghafla na wakati mwingine huwa nachanganya maneno ila sasa nimerudi kwenye mwanga na huwa nasali pamoja na tb joshua na wise men kupitia emanuel tv. ya
  17. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Aksante na ninashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu
  18. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Naamini katika hilo bro na nimempokea yesu awe bwana na mwokozi wangu. Huwa nasali kila siku kabla ya kulala japo kwa wakati huo kabla ya kwenda safina nilichanganyikiwa na kutokuamini katika mungu japo nimekulia na kulelewa katika familia na malezi ya kikristu.
  19. M

    Jini mahaba linavyonitesa

    Nami naamini katika yeye awezaye.
Back
Top Bottom