Leo katika kipindi cha tuongee siasa na uchumi cha star TV, mchangia hoja mmoja alisema kuwa jiji la Dar es salaam, Tanzania ni la nane kwa uchafu duniani. Je, wadau hii ni kweli? Na kama ni kweli nini kifanyike ili kuondoa sifa hii mbaya ya kuwa jiji la 8 kwa uchafu duniani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.