Wakuu computer yangu imekata souti nimepiga window xp imekubali ila sijaipenda vision yake nimepiga window 7 imekata tena nimepewa driver sound zinagoma ku install
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushairi ila sidhani kama upo sahihi kwa kua hiko kitu huwa siangaliagi kabisaa na sio hayo wanale mengi sana sometimes inakua kama umeoreboot inaleta lugha uchague
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu...
Kama heading inavyosomeka hapo juu, simu yangu ina matatizo yafuatayo, huwa inajiwasha data yenyewe, inaleta matangazo mara kwa mara tena sometimes yanakuja ya ngono pia huwa inanileta ujumbe unfortunately stop..
Tatizo litakua nini? msaada wenu wa kilataalam...
Habari zenu wakuu.....
Laptop yangu inanizingua kwenye upande wa network nimeweka modem imeconect vzr ila nikiingia kwenye Internet naambiwa no Internet connection tatizo litakua wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.