Nadau nimeingia kwenye uhusiano naye kama mwezi mmoja hivi lakini tayari sasa hivi anataka nimkopeshe pesa shilingi milioni mbili
Yeye ni mtumishi wa umma ila wasiwasi wangu nikimpatia hiyo pesa atarudisha kweli au ndio nitacheza karata tatu kuliwa maana ni mapema
Wale wazoefu waniambie...
Aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha usalama barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) mstaafu James Kombe amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia kifo hicho Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini, Mrakibu Mwandamizi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.