Kipindi cha miaka 1800 wakati wa ushindi wa Napoleon huko Misri ulifungua historia ya Misri kwa Wazungu. Wakati huo, mumian hawakupewa heshima waliyostahili kutoka kwa wasomi wa Ulaya na kwa kweli, mumiani waliweza kununuliwa kutoka kwa wachuuzi wa mitaani - WAMACHINGA (kama inavyoonekana kwenye...
Inategemea na hotel unazo lala wewe ila umesema ni short time basi hizo zitakuwa zile za elfu nne. Lakini kitu kinachoitwa hotel unalipa siku unaondoka tena watu tumekaa hadi wiki mwezi lakini tunalipa siku ya kusepa. We sema tu huwa unalala hotel/lodge za aina gani?
Kipindi kile cha mgomo wa daladala huku mitihani ya form six ikiendelea kuna mmoja pale Makumbusho alikuwa anawakodishia bodaboda na bajaji ili wawahi mitihani!
Inakaukweli fulani ila kulinganishanisha senario ya vita ya Kagera na siasa za upinzani ni imposibo. hali ni tofauti kabisa mapambano ya kisiasa yanasimama katika ujengaji wa hoja na sio chuki wakati vita inabeba mambo mengi ikiwemo chuki na ndio maana katika vita unachukua kila silaha kwenda...
Kama ni hivo poa!
Lakini ameseme "average Tanzanian" maana yake nilivomuelewa wenye uwezo so walio below average hajwainclude. Vinginevo ni upuuzi kugawanya kwa population yote na hii ndio inawafanye waimbe kuwa uchumi wa Watanzania umekua kumbe ni jamaa wachache wanaohodhi asilimia kubwa ya...
Cha kushangaza ni pale magari yaliyo below 8yrs kwenye calculator yao unaambiwa CIF ni $7,500 wakati wauzaji mfano Beforward wao CIF ni $4,200.
Hapo inakuwa sawa na kama wanavoweka Excise Duty due to Age kwa magari ya zaidi ya 8yrs!
sirjohn
Hizo Asilimia zinaendanje naona kama sikuelewielewi make mwisho wa siku zinakuwa jumala 377% au kuna mfumo tofauti umeutumia hebu iweke sawa pleae kwa maelezo huru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.