Sio watu saba ni sita na niwarabu na ni ndugu zetu tumeshazika leo mtoto mmoja bdo yuko spital na baba ake na wte wngne wamefariki inahuzunisha kwa kweli
sio kma siijuilii ila haikubal mm natumia galaxy 2 nkienda kwny rply nkibonyeza.camera nkichagua pht nki click tu haitok picha sasa sijui vipi kua nakosea kwasababu kuna siku nshawah kutuma pht bt nimepiga nakutuma na imekubali sijawah kutoa kwny callery na kutuma lbda simu yangu mbovu jamani
haikubali mpenzi.nishafanya natumia simu inakuja empty paper sijui kwann na unga mm nakisia tu kawaida sina vipimo ww eka ukiona imeshikana na inafanyika duara bas ujue tayar
BLUE BAND ROBO
VIINI VYA MAYAI VITATU
BAKIN POWDER VIJIKO 2,
ROBO SUKARI
UNGA UTAKISIA
VANILA AU JUICE YA MACHUNGWA
NAMNA YAKUFANYA
Utachukua siag yako utachanganya na sukari utasaga ikiwa tayar imesagika utaeka mayai yako pamoja na vanila au juice upendavyo halafu utaeka...
bora umwambie kma umepata mda gani umeandika hawajaweza kukupa ushauri anakuja sasa hvi na kusema maneno ya kejeli sasa nimuelekeza vipi kwny youtb nawakat mtu unaserch tu kma ww ulikua unajua zaid.kwann hukuja mapema.kuelekeza
asanten kwa ushaur wenu Mungu akubarikin mm ni mwanamke nina umbri 24 nataka kwenda spital lkn huku nilipo tabu ndio nasubr nirud mana hata lugha hawajui wanaongea french yaan hapa nawaza sitaman uje usiku ukija tu nakosa raha nalia siku nyngne
Habari zenu jaman natumai wazima na afya nzur naomben mnisaidie tatzo langu linanisumbua hii ni wiki ya pili sasa mm silali usiku wala mchana na nakua ninabusingiz sana kias ambacho naumwa na kichwa sana na macho kuniuma na saut kubadilika lkn silal kabisa nahis kma nataka kupagawa kupiga...
Habari zenu wana jukwaa mm nimgeni humu kwenye group lenu la mapish nataka muungane na mm shirika kwani napenda sana mapish na nimesoma nimeyapenda mapish yenu ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.