Kila nikifanya application step one nikimaliza kufill kila kitu kwenye ku submit inaleta hii error, na internet yangu iko vizuri kweli kweli niko kwenye fiber, kuna anayepata hii error pia??
Mhanga hapa, its May 2022, and 45 Days zimepita tangu nianze mchakato wa kufatilia mkopo wa biashara, niko Morogoro, yaani 45 Days tangu siku ambayo wamekuja kunitembelea Ofisi na Dhamana na kwa upande wangu nimefanya process kwa uharaka sana, i.e kupeleka viambatanishi vyote pamoja na kulipia...
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala...
๐๐ au Muuzaji nae hajui anauza nini, "Gari aina ya Lexus RX 350 lenye Engine ya Toyota Harrier 2.4L 2AZ"..... No bruh, its Toyota Harrier with Lexus Labels outside
Wakuu habari, exhaust ya gari yangu inapumua kwa pressure kubwa sana ya upepo, pia mafuta inatafuna sana kuliko kawaida, ranging 5km/litre na gari ni honda cr-v 1998, tatizo linaweza kuwa kwenye nini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.