wajukuu zangu nipo mbele ya tv naangalia. ni mengi yamezungumzwa na mengi tumeyaona.
nimepata jambo moja ambalo nafikiri ndilo la msingi sana pamoja na mengine mengi yaaliyojitokeza....NINI MAANA YA SHERIA KATIKA WAKATI ULIOPO NA ILE YA WAKATI ULIOPITA.
swali langu nimeuliza hasa nikiangalia...
habari za leo wajukuu zangu?
ni kwa kipindi kirefu kweli nimeshuhudia huu mjadala juu ya huyu kijana mwenzenu! kama ilivyo ada yangu, leo nimeamua nijitokeze tena; pamoja na mambo mengine mengi ambayo yametokea hapa karibuni na mwaka huu mpya leo nataka nieleze kwa ufupi juu ya huyu kijana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.