Magufuli alikua haelewiki ni mpinzani au mCCM maana mara Mikopo ,mara makabial yote hakuwa Organized kiukweli na sjui ni kwann kwanin wasijifunze kwa kina Obama wanapokuwa wanazungumza na wananchi
Nyooo!!!!!!!!!! kumbe ni wewe, huna jipya. utakalia kuwanga bint mdogo shauri yako ukifanikiwa kuwa bibi utakuwa kachawi au kiongozi wao. Wew mbona huna cheo chochote kama democrasia ipo.
Kalaga bao
mbona Jimbo la Ismani kama halitembelewi na viongozi wa Kitaifa kama maeneo mengine ukimwondoa sosopi ambae ni nyumbani kwao. Tunapenda hamasa hii ifike pia Ismani
Jukwaa la Wakristo Tanzania limewataka waumini wake kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kujitokeza kuikataa kwa kupiga kura ya "hapana".
Taarifa iliyotolewa na Jukwaa hilo jana na kusainiwa na...
Wasira amelifanyia nini Taifahadi tumwamini, Uadilifu, Kutokupenda Rushwa na mengineyo ndo misingi ya kiongozi yeyote, tunataka mambo yapekee aliyolifanyia taifa ambayo ni plan yake (Unique plan)na taifa likanufaika.
Msigwa umeanza kuvimba kichwa, uswahiba wako na nyalandu usiwe ndo kufumbia macho uovu wa serikali na kujifanya kipofo, real we are watching you, kunasiku nimekuskia ukipongeza sana jitihada zake lakin humkosoi anapo potoka kanakwamba nawe ni part ya serikali, tambua kuwa wewe ni oposition...
Nikwamba aliwapelekea taarifa polisi tokea tar 22/01/2014 wakakaa kimya na Cuf wakaendelea na maandalizi na kukamilisha taratibu zote za mkutano na maandamano, jana asubuhi pori ndo wakaja na katazo lao lenye sababu kibao, na Prof akatii katazo akiwa katika zoezi la kuwatawanya wafuasi wake...
Polisi wadogo ni kama mmbwa tu, wao hawanauwezo wa kuhoji wala kupinga ni utekelezaji tu. Lakini hao mabwanazao nadhani ni suala la muda tu wataja jutia umungu mtu wanaojivika, wao wanadhani wanahati miliki na nchi hii.
Polen wahanga wavipigo.
Nisawa na kuwapa kadi nyekundu wachezaji robo tatu afu kabla nchezo kuisha unatabiri mtashinda gori za kutosha ndio kilichofanyika kwa ccm. Kama kweli mnajiweza weken fair game af mshinde ndo mtakua na haki ya kusherehekea ata kilammoja atakupongezen otherwise n kujidanganya wenyewe
Unatabiri nini wakati mmeweka mapingamizi kila eneo ilimpite bila kupingwa na mwishowe mshangilie ushindi wa kishindo. wendawazimu huo kutoa upinzani na kujibakiza wenyewe na kujisifu kuwa mnapendwa
kwan we ndo msemaji wao wahao watu. mapingamizi ni mpango wa CCM kujipitisha bila kupingwa na baadae waje kusema tumenyakua mitaa na vijiji vingiiii wananchi wanaimani na chama kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.