Wadau, ninatafuta moja ya magari tajwa hapo juu! ila zaidi napendelea Swift! liwe na cc si zaidi ya 1,400! liwe lina hali nzuri! nina milion tano na laki tano tu! mwenye nalo anipm picha zake! Ahsante
Salaam ndugu zangu.
Ni juzi tu UDOM wametoa majina ya watu wa kwenda kufanya usahili kwa kada za wanataaluma na waendeshaji. Kilichonifurahisha kuhusu UDOM kwa mara hii ni hiki; wametoa mambo ya ubaguzi wa vyuo, kwa kada za wakufunzi wameita watu waliokuwa na vigezo kutoka karibia vyuo vyote...
Jamani kuna chuo kikuu kimoja kiko mjini dodoma kinamtafuta assistant lecturer in Accounting and Finance haraka sana na mimi ndiye niliyetumwa kumtafuta mtu huyo mmoja! Sifa zinazotakiwa ni kuwa awe na GPA ya not less that 3.5 at undergraduate level, awe na CPA na at masters level awe na GPA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.