Kwa kipindi kirefu watanzania wameendelea kufa kupitia ajali mbalimbali za barabarani, moto, maji na serikali bila aibu inakimbilia kuunda tume za uchunguzi zisizokuwa na tija. jamani viongozi wetu kwann mnatuua kwa uzembe wenu, tunaomba ifike wakati tujenge taifa lenye kuwajibika kwa masilahi...
Haya mambo ni ya kawaida kwa serikali ya ccm. si muda mrefu utasikia iundwe tume ya uchunguzi ili kutengeneza mazingira ya posho ( cacity builiding grand) wakati watu wamekufa.
serikali imeona ni mwiba kweny masuala ya
kuibua wizi unaofanywa na viongozi wa ccm kwenye mbuga za wanyama.
kupeleka bungeni suala la kutorosha wanyama pori hai kwenda nchinni Qatar
kushiriki mijadala ya mabadiliko kwa kumwelekea waziri mkuu bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.