TRA wamepewa mamlaka ya kimungu nchi hii.. Wao kuua biashara yako ni kwa barua moja tuu..., tayari unapelekwa ICU kama sio makaburi ya Kinondoni..
Ulizeni wafanyabiashara wanavyobambikiwa kodi..
Hata 2020 , yeye na chama chake hawataungwa mkono.., lakini atapita kwa 101% . . , si anategemea vijana wake polisisiem, TISS, wakuu wa Wilaya na mikoa.., wakurugenzi na Tume yake ya uchaguzi..??!
Wenye akili na nia ya kweli ya maendeleo ya nchi hii wamechoka kuchangia ndugu yangu.., na sio ktk JF tuu.. Hata ktk majukwaa mengine watu wamechoka kupiga domo lisilo leta mabadiliko..
Watanzania ili tuamke tunatakiwa kumwaga damu ya kutosha kwanza..., tupimwe tezi dume.., wake zetu...
Unakosea kufikiri kuwa maandamano haya yalikuwa ya wapinzani..., yaani Chadema au CUF.. Kumbuka Mange alionya sana kuhusu kujihusisha kwao...
Lakini kwa kusema ukweli.., kama maandamano haya yangeitishwa na vyama vya upinzani..., hali ingekua tofauti..
Mange ametengeneza CV yake vizuri sana..., sio mwanamke wa mchezo mchezo.. I really adore her.., ni Simba jike kweli kweli..
Na nnafikiri nchi hii wanawake wako strong kuliko wanaume.., look at these super womens..., Mama Kijo Bisimba.., Fatma Karume.., Mange Kimambi..., Carol Ndosi..., Mama...
Nakuunga mkono..., watanzania.., tena hasa vijana ni wangese sana.. Mtu mzima mimi nimefika Askari monument saa nne..., hakuna mtu.. Hata polisi wamechukia sana.., walikua tayari kutupa support.. Nimeongea na mmoja.., amesikitika kwa kweli... Never trust a Tanzanian...
Teknolojia inakua kwa kasi ya ajabu...
Kwa speed ya Telegram, Firechat na nyingine zinazojaribiwa,
Soon Serikali za kiafrika hazitaweza ku control mawasiliano ya mitandao wala simu..
Bora viongozi wetu wangewekeza zaidi ktk elimu kuliko kuwabana wananchi wao ktk mawasiliano..
Sio lazima ujibu au uchangie kila post humu..., hoja hii ya WIZI wa 1.5 Trillion si ya Zitto.., ni hoja ya OFISI ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
Mwambieni kiranja wenu wa malaika arudishe pesa zetu wee falaa... !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.