hakuna ubaya wowote. tanganyika itaendelea bila zanzibar. ni afadhali ifanyike kura za maoni pande zote halafu matokeo yafuatwe. baada ya hapa. matatizo mengi yaliyopo yatapotea.
Kama haya mambo ni kweli, basi huu ni ulafi wa hali ya juu.Ubepari ni unyama.Haya basi ,na sisi watanzania tukikubali kuendelea au kukubali EAC, SI TUTAKUWA KAMA WAO. Ni afadhali kuachana na EAC. Ongezea kuuana kwao,ugonvi wao wa kikabila,ulafi nk. kweli EAC tutaiweza?.
Ukweli ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.